MPANGO WA WATOTO WALIOKO KWENYE MAZINGIRA MAGUMU.

MPANGO WA WATOTO WALIOKO KWENYE MAZINGIRA MAGUMU.

Mpango wa watoto walioko kwenye mazingira magumu.

Chama cha Biblia kupitia mpango huu kimeendelea kuwafikia watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu kwa kuwapatia mafunzo ya kuwajengea  uwezo katika masuala ya;

  • Elimu ya  afya ya uzazi,
  • UKIMWI,
  • Jinsi ya  kumtambua rafiki mzuri,
  •   Kuutambua uthamani waliona mbele za Mungu,
  • Jinsi ya kutunza mazingira na miili yao, kujikubali walivyo,
  • Jinsi ya kuepuka na kupata msaada kuhusu unyanyasaji wa kijinsia mfano ndoa za utotoni,
  • Masuala ya ngono na mengine mengi,

Pia tuliweza kuwafikia watoto wenye ulemavu katika shule ya Hombolo katika kata ya Hombolo pamoja na watoto kutoka Kongwa, Matumbulu, Mpunguzi,Ipala na Ng,ambi.

Waalimu wa shule ya jumapili kutoka Hombolo wakiwa kwenye majadiliano. scaled

Watoto 180 waliweza kufikiwa kwa pindi cha  January – Mei, kuhakikisha elimu hii ni endelevu  tuliweza kuwafikia  waalimu na viongozi wa makanisa 60 katika kata ya Hombolo, Ugogoni na Ng,ambi lengo ni wao kuendeleza elimu waliyoipata kwenye makanisa yao pamoja na jamii iliyowazunguka.

electrician 10

Matukio katika Picha

Volunter-Mr-Musa-Barabara-akiwa-na-watoto-kutoka-Matumbulu-wakisoma-kijtabu-baada-ya-kugawiwa.-scaled.jpg June 23, 2022
20211221 064204 scaled

Addresses

16 Hatibu / 9th Road, Madukani Area.
P.O BOX 175, Dodoma -Tanzania.

Phone

+255 (0) 765 530 892

Email

info@biblesociety-tanzania.org

MPANGO WA BIBLIA YA NUKTA NUNDU.

MPANGO WA BIBLIA YA NUKTA NUNDU.

Mpango wa Biblia ya nukta nundu.

Chama cha Biblia cha Tanzania kinaendelea na mpango huu wa kuwafikia wasiiona katika wilaya ya Kongwa-Dodoma.

Chama cha Biblia kwa kushirikiana na kanisa la Anglican Kongwa kimeweza kuanzisha maktaba kwa ajili ya Biblia ya Nukta nundu (Biblia nzima) ambayo itakuwa inasomwa na kutumiwa na watu wenye ulemavu wa macho.

Kupitia mpango huu kanisa la Kongwa limeweza kuwashirikisha wasiiona kwenye huduma mbalimbali ndani ya makanisa yao: Kusoma masomo kanisani, kuongoza sifa na kuabudu, kuhubiri na tunae mchungaji asiiona ambae amekuwa mchungaji baada ya kuwa sehemu katika mpango huu.

20220616 145127 scaled

Katika kuhakikisha wasiiona wanahudumiwa kiroho na kimwili, Chama cha Biblia kimeweza kukutana na baadhi ya viongozi wa makanisa, viongozi wa serekali ngazi ya kata na vijiji pamoja na Halmashauri (Afisa maendeleo ya jamii na Afisa ustawi wa jamii ) kuona naona ya kuwasaidia kupata elimu ya ujasiriamali itakayowawezesha kuibua miradi, kuandika andiko la mradi na mchanganuo wa fedha ili kuweza kupata fedha za walemavu 2% zinazotolewa na kila Halmashauri nchini.

Suala hili linafanyiwa kazi lipo kwenye utekelezaji kati ya Chama cha Biblia na wahusika wa Halmashauri ya (W) ya Kongwa.

electrician 10

Matukio katika Picha

20220616 122819 scaled
20220617 141058 scaled
20220617 120119 scaled

Addresses

16 Hatibu / 9th Road, Madukani Area.
P.O BOX 175, Dodoma -Tanzania.

Phone

+255 (0) 765 530 892

Email

info@biblesociety-tanzania.org

3

Uzinduzi wa Biblia ya Kihehe

Biblia kwa Lugha ya Kihehe Yazinduliwa Rasmi Iringa – Miaka 30 ya Kazi Yafikia TamatiNa Mwandishi Wetu, Iringa 29 Juni 2025Dr. Alfred Elias Kimonge akikabidhi Biblia kwa ajili ya kuzinduliwa.Mgeni rasmi.  Mgeni rasmi katika tukio hilo alikuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya...
Kuonesha Biblia zilizozinduliwa

UZINDUZI WA BIBLIA YA KIKAGULU

UZINDUZI WA BIBLIA YA KIKAGULU – WILAYA YA GAIRO, MKOA WA MOROGORO.Tarehe: 8 Juni 2025Mahali:Gairo, Morogoro Uzinduzi wa Biblia ya Kikagulu Unasisitiza Uthamini wa Lugha za AsiliDr. Alfred Elias Kimonge akikabidhi Biblia kwa ajili ya kuzinduliwa.Ibada na kubariki wa...
17

Mkutano Mkuu wa 39 wa Chama cha Biblia cha Tanzania wa Mwaka 2024

Mwenyekiti wa Bodi ya Chama cha Biblia Tanzania, Askofu Dkt. Mark Malekana amesema katika ulimwengu huu ambao jamii inal­alamika kuhusu kuporomoka kwa maadili kutokana na mambo ya aja­bu yanayotokea, nguvu inayoweza kusadia jamii inayoathirika ni Neno la Mungu pekee....

Mkutano Mkuu wa Mwaka (AGM) 2024

info@biblesociety-tanzania.org(+255) 784-683 1209th Road /14 Hatibu, Madukani Area
7

Maafali ya Saba ya Mradi wa Literacy for Women in Africa

Maafali ya Saba ya Mradi wa Literacy for Women in Africa.Mahali: ukumbi wa Nazareti, wilayani Gairo, mkoani Morogoro.Hafla hii ilihudhuriwa na viongozi wa dini na serikali wakiwemo wawakilishi kutoka ofisi ya Mkuu wa (W) ya Gairo pamoja na ofisi ya Mkurugenzi mtendaji...
IMG 0245 scaled

Uzinduzi wa sehemu ya Biblia (portion) kwa lugha ya Kiha.

Uzinduzi wa sehemu ya Biblia (portion) kwa lugha ya Kiha.Mahali: Kijiji cha Nyakimwe, Wilaya ya Buhigwe  Dhehebu: Kanisa la Anglican Maelezo ya Meneja wa Tafsiri, Leah Kiloba Leah Kiloba alielezea maendeleo ya mradi huu, akisisitiza kuwa Chama cha Biblia kinaendelea...
20241103 154811 scaled

KILELE CHA MAADHIMISHO YA JUMA LA BIBLIA MKOANI DODOMA

KILELE CHA MAADHIMISHO YA JUMA LA BIBLIA MKOANI DODOMADodoma, 03 Novemba 2024 – Maadhimisho ya kilele cha Juma la Biblia mwaka huu yamefanyika kwa mafanikio makubwa mkoani Dodoma, katika Uwanja wa Mashujaa. Maadhimisho hayo yaliyoanza na maandamano ya amani kutoka...
IMG 9840 scaled

UZINDUZI WA SEHEMU YA BIBLIA KWA LUGHA YA KINYIHA WAFANYIKA KANISA LA MORAVIAN, MBOZI

UZINDUZI WA SEHEMU YA BIBLIA KWA LUGHA YA KINYIHA WAFANYIKA KANISA LA MORAVIAN, MBOZIJimbo la Mbozi, Kanisa la Moravian Ushirika wa Igamba – 27 Oktoba 2024Tukio la kihistoria la uzinduzi wa vitabu vya Biblia vilivyotafsiriwa kwa lugha ya Kinyiha vitabu vya Ruthu, 1...
Group Photo Chasu scaled

UZINDUZI WA KITABU CHA KWANZA NA CHA PILI CHA SAMWELI KWA LUGHA YA CHASU

UZINDUZI WA KITABU CHA KWANZA NA CHA PILI CHA SAMWELI KWA LUGHA YA CHASUKanisa la KKKT Usharika wa Hedalu, Dayosisi ya Pare - 20 Oktoba 2024Wapendwa waalikwa walikusanyika leo kwa tukio la kihistoria la uzinduzi wa kitabu cha Kwanza na cha Pili cha Samweli...
MG 8748 scaled

Uzinduzi wa sehemu ya Biblia za vitabu vya 2 Samweli, Ruthi, na Yona kwa lugha ya Kinyamwezi.

Uzinduzi wa tafsiri ya Biblia za vitabu vya 2 Samweli, Ruthi, na Yona kwa lugha ya Kinyamwezi umefanyika katika kanisa la Moraviani, Parishi ya Ipole, wilayani Skonge, mkoa wa Tabora. Tukio hili limeongozwa na Katibu wa Kanisa wa Wilaya ya Skonge, Mchungaji Jackson...
MKUTANO MKUU WA MWAKA (AGM) 2021

MKUTANO MKUU WA MWAKA (AGM) 2021

MG 6283 copy scaled

Taarifa ya Utendaji na Fedha kwa mwaka wa 2021.

Imewasilishwa kwenye Mkutano Mkuu wa Mwaka (AGM) katika ukumbi wa Mikutano wa K.K.K.T – Dodoma.

Na Mkutano huo uliongozwa na

Rt. Rev Mark W. Malekana Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Chama cha Biblia cha Tanzania ambaye alipata fursa ya kufungua Mkutano Mkuu huo kwa Neno la Mungu.

 

MG 6130 copy scaled

Our Partners & Sponsors

UBS
ABS LOGO2
BIBLE ONLINE
FCBH
TalkingBibles
Finnish Bible Society

Get In Touch

Mkutano Mkuu wa Mwaka 2021

Mkutano Mkuu wa Mwaka 2021

Mkutano Mkuu wa Mwaka 2021

Katibu Mkuu wa Chama cha Biblia cha Tanzania Dkt. Alfred E. Kimonge anawakaribisha wanachama wa Chama cha Biblia cha Tanzania walio hai (ambao wamelipa michango yao ya uanacha wa kila mwaka) kuhudhuria Mkutano Mkuu wa Chama cha Biblia cha Tanzania (Annual General Meeting 2021) utakaofanyika tarehe 13.05.2022, katika ukumbi wa KKKT- Dodoma mjini, kuanzia saa 3 Asubuhi

Usipange kukosa.

Upatapo taarifa hii mshirikishe na mwenzako.

KARIBUNI.

MAWASILIANO: +255 784 683 120

Our Partners & Sponsors

UBS
ABS LOGO2
BIBLE ONLINE
FCBH
TalkingBibles
Finnish Bible Society

Get In Touch

CHAMA CHA BIBLIA CHA TANZANIA CHA SHEREHEKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

CHAMA CHA BIBLIA CHA TANZANIA CHA SHEREHEKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

Heri ya Siku ya Wanawake Duniani (IWD)

Watoto katika kituo cha SAAFAD Membe.

 

Kituo hiki kiko Kijiji cha Membe, Kata ya Membe na Wilaya ya Chamwino katika Mkoa wa Dodoma.

food bank 57

Katika kusherekea sikukuu ya wanawake Duniani, wanawake wa Chama cha Biblia cha Tanzania, wadau na Chama cha Biblia cha Tanzania wamejumuika leo tarehe 08/03/2022 kuazimisha siku hiyo kwa kuwatembelea watoto wanaolelewa kwenye kituo cha SAAFAD Membe.

Katika siku hiyo wanawake wa Chama cha Biblia wamepata fursa ya kukutana na watoto zaidi ya 100 wanaolelewa kwenye kituo hiko ambao ni yatima na wanaoishi kwenye mazingira magumu. Ilikuwa ni ya furaha kwa wanawake, watoto wenyewe pamoja na wageni wengine walioshiriki kwenye sherehe hiyo.

Wanawake hao walipata mda wa kuzungumza na watoto hao kuhusu mada mbali mbali zikiwemo athari za mimba utotoni, umuhimu wa kujitunza na jinsi kuepukana na vishawishi wanavyokutana navyo katika makuzi yao na kuliishi Neno la Mungu wanalofundishwa na walezi wao kituoni hapo.

 

Watoto walipata muda wa kushirikisha story za maisha yao. Huyo binti anashuhudia namna mama yake alivyomkataa na wadogo zake mara tu baba alipofariki na mama kuolewa na mwanaume mwingine. Wote wanalelewa kwenye kituo cha SAAFAD.

Membe Kituoni (SAAFAD)

Kauli mbiu ya mwaka huu ni

IMG 6979 scaled

“Kizazi cha Haki na Usawa kwa Maendeleo Endelevu.”

IMG 7018 scaled
given3
food bank 57

Get Involved

We have Bibles in different Tanzanians languages that you can read online. You can also download Bible reading plans to guide you through the Bible.

food bank 56

Donate Today or Get Involved

Help With Hunger By Donating Today!

The launch of the full Braille Bible

The launch of the full Braille Bible

The Bible Society of Tanzania celebrates the launch of the full Braille Bible.

It is in the city of Kongwa, located in Dodoma Region of the capital city of Tanzania that the majority of the visual impaired live. One of the characteristics of this translation is that it is the result of close collaboration between Churches of different confessions