Mpango wa Biblia ya nukta nundu.

Chama cha Biblia cha Tanzania kinaendelea na mpango huu wa kuwafikia wasiiona katika wilaya ya Kongwa-Dodoma.

Chama cha Biblia kwa kushirikiana na kanisa la Anglican Kongwa kimeweza kuanzisha maktaba kwa ajili ya Biblia ya Nukta nundu (Biblia nzima) ambayo itakuwa inasomwa na kutumiwa na watu wenye ulemavu wa macho.

Kupitia mpango huu kanisa la Kongwa limeweza kuwashirikisha wasiiona kwenye huduma mbalimbali ndani ya makanisa yao: Kusoma masomo kanisani, kuongoza sifa na kuabudu, kuhubiri na tunae mchungaji asiiona ambae amekuwa mchungaji baada ya kuwa sehemu katika mpango huu.

20220616 145127 scaled

Katika kuhakikisha wasiiona wanahudumiwa kiroho na kimwili, Chama cha Biblia kimeweza kukutana na baadhi ya viongozi wa makanisa, viongozi wa serekali ngazi ya kata na vijiji pamoja na Halmashauri (Afisa maendeleo ya jamii na Afisa ustawi wa jamii ) kuona naona ya kuwasaidia kupata elimu ya ujasiriamali itakayowawezesha kuibua miradi, kuandika andiko la mradi na mchanganuo wa fedha ili kuweza kupata fedha za walemavu 2% zinazotolewa na kila Halmashauri nchini.

Suala hili linafanyiwa kazi lipo kwenye utekelezaji kati ya Chama cha Biblia na wahusika wa Halmashauri ya (W) ya Kongwa.

electrician 10

Matukio katika Picha

20220616 122819 scaled
20220617 141058 scaled
20220617 120119 scaled

Addresses

16 Hatibu / 9th Road, Madukani Area.
P.O BOX 175, Dodoma -Tanzania.

Phone

+255 (0) 765 530 892

Email

info@biblesociety-tanzania.org

Wafungwa wa Arusha Mjini 2

Biblia kwa Wafungwa Kanda ya Kaskazini

Biblia kwa Wafungwa Kanda ya KaskaziniHabari Kamili.Chama cha Biblia cha Tanzania kimeendelea na huduma yake ya kugawa Biblia kwa baadhi ya magereza hapa nchini. Chama kimeendelea kutoa huduma hiyo kutokanana  sadaka na michango ya  wanachama wake, wadau mbali mbali...
Dr Suzanne kutoka SIL Kenya akiwa na waalimu wa Chikagulu wakati wa mafunzo scaled

MPANGO WA KISOMO CHA WATU WAZIMA – LITERACY FOR WOMEN IN AFRICA.

MPANGO WA KISOMO CHA WATU WAZIMA - LITERACY FOR WOMEN IN AFRICA.Habari Kamili.Chama cha Biblia cha Tanzania kinaendelea kutekeleza mpango wa Kisomo cha elimu ya watu wazima katika wilaya ya Kilosa na Gairo kwenye vijiji 15 vilivyochaguliwa wakati wa kuanzishwa kwa...
MG 0201 scaled

MKUTANO MKUU WA 37 WA CHAMA CHA BIBLIA CHA TANZANIA

MKUTANO MKUU WA 37 WA CHAMA CHA BIBLIA CHA TANZANIAHabari Kamili. Mwenyekiti wa Bodi ya Chamacha Biblia Tanzania, Askofu Mkuu Mark Walwa Malekana amesema chama hicho kitajitahidi kuendelea kuchapisha na kusambaza neno la Mungu ili liweze kumfikia kwa kila mtu na...
20220713 140251 1 scaled

Uenezaji wa Maandiko kwa 2022

Taasisi yetu kwa mwaka uliopita uliambatana na Baraka zake. Muungano wetu wa vyama vya Biblia ulimwenguni ulituweka katika mpango wa kuwafikia watu milioni moja ulimwenguni walio katika mazingira magumu au walengwa ambao hawana uwezo wa kununua Biblia. Tanzania...
16 scaled

Kimachame Bible Launch

The launch of the Bible in the Kimashami language (Kichagga of Machame), was held in the Congregation of Hai in 04/12/2022. Bishop Dr Shoo said many people have been neglecting their languages ​​and said it is good to learn and develop their native languages. At the...
Kimochi Bible

Uzinduzi wa Biblia ya lugha ya Kimochi

Mkuu wa KKKT ambaye pia ni Askofu wa Dayosisi ya Kaskazini, Dkt. Fredrick Shoo, amewataka Wakristo kuitunza na kuindeleza lugha zao za asili kwani ndio msingi na urithi walio nao. Askofu Dkt. Shoo aliyasema hayo wakati wa Uzinduzi wa Biblia ya lugha ya Kimochi...
MPANGO WA KUWAPATIA MAANDIKO

MPANGO WA KUWAPATIA MAANDIKO MATAKATIFU (BIBLIA) WATOTO, VIJANA NA WAFUNGWA MAGEREZANI NCHINI TANZANIA.

MPANGO WA KUWAPATIA MAANDIKO MATAKATIFU (BIBLIA) WATOTO, VIJANA NA WAFUNGWA MAGEREZANI NCHINI TANZANIA. 1. UTANGULIZI. Chama cha Biblia cha Tanzania (CBT) ni shirika la Kikristo lililoandikishwa mwaka 1970 na kupewa nambari S0 5722. Ni mwanachama wa Muungano waVyama...
Refresher photo

MPANGO WA ELIMU YA WATU WAZIMA.

Mpango wa elimu ya watu wazima. Chama cha Biblia kimeeendelea na mpango huu wa elimu ya watu wazima katika (w) ya Kilosa na Gairo-Morogoro kwa lengo la kuwasaidia wanawake na wasichana ambao hawakubahatika kwenda shule kwa sababu tofauti tofauti waweze kusoma na...
20211221 045411 scaled

MPANGO WA WATOTO WALIOKO KWENYE MAZINGIRA MAGUMU.

Mpango wa watoto walioko kwenye mazingira magumu. Chama cha Biblia kupitia mpango huu kimeendelea kuwafikia watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu kwa kuwapatia mafunzo ya kuwajengea  uwezo katika masuala ya; Elimu ya  afya ya uzazi, UKIMWI, Jinsi ya  kumtambua...
20220616 102549 scaled

MPANGO WA BIBLIA YA NUKTA NUNDU.

Mpango wa Biblia ya nukta nundu. Chama cha Biblia cha Tanzania kinaendelea na mpango huu wa kuwafikia wasiiona katika wilaya ya Kongwa-Dodoma. Chama cha Biblia kwa kushirikiana na kanisa la Anglican Kongwa kimeweza kuanzisha maktaba kwa ajili ya Biblia ya Nukta nundu...
× How can I help you?