Mpango wa Biblia ya nukta nundu.

Chama cha Biblia cha Tanzania kinaendelea na mpango huu wa kuwafikia wasiiona katika wilaya ya Kongwa-Dodoma.

Chama cha Biblia kwa kushirikiana na kanisa la Anglican Kongwa kimeweza kuanzisha maktaba kwa ajili ya Biblia ya Nukta nundu (Biblia nzima) ambayo itakuwa inasomwa na kutumiwa na watu wenye ulemavu wa macho.

Kupitia mpango huu kanisa la Kongwa limeweza kuwashirikisha wasiiona kwenye huduma mbalimbali ndani ya makanisa yao: Kusoma masomo kanisani, kuongoza sifa na kuabudu, kuhubiri na tunae mchungaji asiiona ambae amekuwa mchungaji baada ya kuwa sehemu katika mpango huu.

20220616 145127 scaled

Katika kuhakikisha wasiiona wanahudumiwa kiroho na kimwili, Chama cha Biblia kimeweza kukutana na baadhi ya viongozi wa makanisa, viongozi wa serekali ngazi ya kata na vijiji pamoja na Halmashauri (Afisa maendeleo ya jamii na Afisa ustawi wa jamii ) kuona naona ya kuwasaidia kupata elimu ya ujasiriamali itakayowawezesha kuibua miradi, kuandika andiko la mradi na mchanganuo wa fedha ili kuweza kupata fedha za walemavu 2% zinazotolewa na kila Halmashauri nchini.

Suala hili linafanyiwa kazi lipo kwenye utekelezaji kati ya Chama cha Biblia na wahusika wa Halmashauri ya (W) ya Kongwa.

electrician 10

Matukio katika Picha

20220616 122819 scaled
20220617 141058 scaled
20220617 120119 scaled

Addresses

16 Hatibu / 9th Road, Madukani Area.
P.O BOX 175, Dodoma -Tanzania.

Phone

+255 (0) 765 530 892

Email

info@biblesociety-tanzania.org

16 scaled

Kimachame Bible Launch

The launch of the Bible in the Kimashami language (Kichagga of Machame), was held in the Congregation of Hai in 04/12/2022. Bishop Dr Shoo said many people have been neglecting their languages ​​and said it is good to learn and develop their native languages. At the...
Kimochi Bible

Uzinduzi wa Biblia ya lugha ya Kimochi

Mkuu wa KKKT ambaye pia ni Askofu wa Dayosisi ya Kaskazini, Dkt. Fredrick Shoo, amewataka Wakristo kuitunza na kuindeleza lugha zao za asili kwani ndio msingi na urithi walio nao. Askofu Dkt. Shoo aliyasema hayo wakati wa Uzinduzi wa Biblia ya lugha ya Kimochi...
MPANGO WA KUWAPATIA MAANDIKO

MPANGO WA KUWAPATIA MAANDIKO MATAKATIFU (BIBLIA) WATOTO, VIJANA NA WAFUNGWA MAGEREZANI NCHINI TANZANIA.

MPANGO WA KUWAPATIA MAANDIKO MATAKATIFU (BIBLIA) WATOTO, VIJANA NA WAFUNGWA MAGEREZANI NCHINI TANZANIA. 1. UTANGULIZI. Chama cha Biblia cha Tanzania (CBT) ni shirika la Kikristo lililoandikishwa mwaka 1970 na kupewa nambari S0 5722. Ni mwanachama wa Muungano waVyama...
Refresher photo

MPANGO WA ELIMU YA WATU WAZIMA.

Mpango wa elimu ya watu wazima. Chama cha Biblia kimeeendelea na mpango huu wa elimu ya watu wazima katika (w) ya Kilosa na Gairo-Morogoro kwa lengo la kuwasaidia wanawake na wasichana ambao hawakubahatika kwenda shule kwa sababu tofauti tofauti waweze kusoma na...
20211221 045411 scaled

MPANGO WA WATOTO WALIOKO KWENYE MAZINGIRA MAGUMU.

Mpango wa watoto walioko kwenye mazingira magumu. Chama cha Biblia kupitia mpango huu kimeendelea kuwafikia watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu kwa kuwapatia mafunzo ya kuwajengea  uwezo katika masuala ya; Elimu ya  afya ya uzazi, UKIMWI, Jinsi ya  kumtambua...
20220616 102549 scaled

MPANGO WA BIBLIA YA NUKTA NUNDU.

Mpango wa Biblia ya nukta nundu. Chama cha Biblia cha Tanzania kinaendelea na mpango huu wa kuwafikia wasiiona katika wilaya ya Kongwa-Dodoma. Chama cha Biblia kwa kushirikiana na kanisa la Anglican Kongwa kimeweza kuanzisha maktaba kwa ajili ya Biblia ya Nukta nundu...
MG 6138 copy scaled

MKUTANO MKUU WA MWAKA (AGM) 2021

Taarifa ya Utendaji na Fedha kwa mwaka wa 2021. Imewasilishwa kwenye Mkutano Mkuu wa Mwaka (AGM) katika ukumbi wa Mikutano wa K.K.K.T - Dodoma. Na Mkutano huo uliongozwa na Rt. Rev Mark W. Malekana Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Chama cha Biblia cha Tanzania...
Wanakikundi wa kikundi cha mshikanao talking Bible

Mradi wa Talking Bible

MRADI WA TALKING BIBLE    Mradi huu wa Talking Bible umepokelewa vizuri kwenye makanisa ya kigoma, na idadi ya makundi tuliyonayo ni 142. Pia mradi huu unaendelea vizuri na umeleta mabadiriko makubwa kwenye makanisa na kwenye jamii. Ripoti toka mkoa wa Kigoma,...
E79A4840 scaled

Mkutano Mkuu wa Mwaka 2021

Katibu Mkuu wa Chama cha Biblia cha Tanzania Dkt. Alfred E. Kimonge anawakaribisha wanachama wa Chama cha Biblia cha Tanzania walio hai (ambao wamelipa michango yao ya uanacha wa kila mwaka) kuhudhuria Mkutano Mkuu wa Chama cha Biblia cha Tanzania (Annual General...
Chama cha Biblia Sherehekea

CHAMA CHA BIBLIA CHA TANZANIA CHA SHEREHEKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

Heri ya Siku ya Wanawake Duniani (IWD)Watoto katika kituo cha SAAFAD Membe.   Kituo hiki kiko Kijiji cha Membe, Kata ya Membe na Wilaya ya Chamwino katika Mkoa wa Dodoma.Katika kusherekea sikukuu ya wanawake Duniani, wanawake wa Chama cha Biblia cha Tanzania,...
×

Praise the Lord Jesus Christ!

Click one of our representatives below to chat on WhatsApp or send us an email to fjones@biblesociety-tanzania.org

× How can I help you?