Taarifa ya Utendaji na Fedha kwa mwaka wa 2021.
Imewasilishwa kwenye Mkutano Mkuu wa Mwaka (AGM) katika ukumbi wa Mikutano wa K.K.K.T – Dodoma.
Na Mkutano huo uliongozwa na
Rt. Rev Mark W. Malekana Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Chama cha Biblia cha Tanzania ambaye alipata fursa ya kufungua Mkutano Mkuu huo kwa Neno la Mungu.