Mpango wa watoto walioko kwenye mazingira magumu.

Chama cha Biblia kupitia mpango huu kimeendelea kuwafikia watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu kwa kuwapatia mafunzo ya kuwajengea  uwezo katika masuala ya;

  • Elimu ya  afya ya uzazi,
  • UKIMWI,
  • Jinsi ya  kumtambua rafiki mzuri,
  •   Kuutambua uthamani waliona mbele za Mungu,
  • Jinsi ya kutunza mazingira na miili yao, kujikubali walivyo,
  • Jinsi ya kuepuka na kupata msaada kuhusu unyanyasaji wa kijinsia mfano ndoa za utotoni,
  • Masuala ya ngono na mengine mengi,

Pia tuliweza kuwafikia watoto wenye ulemavu katika shule ya Hombolo katika kata ya Hombolo pamoja na watoto kutoka Kongwa, Matumbulu, Mpunguzi,Ipala na Ng,ambi.

Waalimu wa shule ya jumapili kutoka Hombolo wakiwa kwenye majadiliano. scaled

Watoto 180 waliweza kufikiwa kwa pindi cha  January – Mei, kuhakikisha elimu hii ni endelevu  tuliweza kuwafikia  waalimu na viongozi wa makanisa 60 katika kata ya Hombolo, Ugogoni na Ng,ambi lengo ni wao kuendeleza elimu waliyoipata kwenye makanisa yao pamoja na jamii iliyowazunguka.

electrician 10

Matukio katika Picha

Volunter-Mr-Musa-Barabara-akiwa-na-watoto-kutoka-Matumbulu-wakisoma-kijtabu-baada-ya-kugawiwa.-scaled.jpg June 23, 2022
20211221 064204 scaled

Addresses

16 Hatibu / 9th Road, Madukani Area.
P.O BOX 175, Dodoma -Tanzania.

Phone

+255 (0) 765 530 892

Email

info@biblesociety-tanzania.org

× How can I help you?