Uzinduzi wa Biblia ya Kisukuma

Uzinduzi wa Biblia ya Kisukuma

Hatimaye Biblia ya Kisukuma yazinduliwa kwa kishindo mkoani Mwanza. Na Felix Jones Uzinduzi wa Biblia ya Kisukuma umefanyika katika Kanisa Kuu AIC Makongoro Mwanza na kuudhuliwa na viongozi mbalimbali wa Umoja wa Makanisa mkoa wa Mwanza. Akizungumza katika hafla hiyo...
× How can I help you?