by The Bible Society of Tanzania | Nov 24, 2022 | News, Translation News, Uzinduzi
Mkuu wa KKKT ambaye pia ni Askofu wa Dayosisi ya Kaskazini, Dkt. Fredrick Shoo, amewataka Wakristo kuitunza na kuindeleza lugha zao za asili kwani ndio msingi na urithi walio nao. Askofu Dkt. Shoo aliyasema hayo wakati wa Uzinduzi wa Biblia ya lugha ya Kimochi...
by The Bible Society of Tanzania | Jul 21, 2021 | News, Uzinduzi
Hatimaye Biblia ya Kisukuma yazinduliwa kwa kishindo mkoani Mwanza. Na Felix Jones Uzinduzi wa Biblia ya Kisukuma umefanyika katika Kanisa Kuu AIC Makongoro Mwanza na kuudhuliwa na viongozi mbalimbali wa Umoja wa Makanisa mkoa wa Mwanza. Akizungumza katika hafla hiyo...