by The Bible Society of Tanzania | May 6, 2022 | News, UpComingEvent
Katibu Mkuu wa Chama cha Biblia cha Tanzania Dkt. Alfred E. Kimonge anawakaribisha wanachama wa Chama cha Biblia cha Tanzania walio hai (ambao wamelipa michango yao ya uanacha wa kila mwaka) kuhudhuria Mkutano Mkuu wa Chama cha Biblia cha Tanzania (Annual General...
by The Bible Society of Tanzania | Jun 24, 2021 | UpComingEvent
Tunakualika Karibu Ushiriki nasi katika Uzinduzi wa Biblia ya Kisukuma Jumapili, Juni 27, 2021 Mahali: KANISA LA AIC MISSION MAKONGOLO – MWANZA Saa 08:00 Mchana – 12:00 Jioni Tukio la bure kabisa Imetafsiriwa na Chama cha Biblia cha Tanzania Jinunulie Biblia yako...
by The Bible Society of Tanzania | Nov 18, 2020 | UpComingEvent
Tunakualika katika: Uzinduzi wa Agano Jipya la Kiha (INSEZERANO NSHASHA) Karibu Ushiriki nasi Jumapili, Novemba 22, 2020 Imetafsiriwa na Chama cha Biblia cha Tanzania Mahali: Kanisa Katoliki Kasulu Mjini – Kigoma Saa 03:00 Asubuhi – 08:00 Mchana Tukio la bure...
by The Bible Society of Tanzania | Apr 2, 2019 | News, UpComingEvent
Chama cha Biblia cha Tanzania kupitia uongozi wake, kinawatangazia na kuwakaribisha wanachama wake wote wakiwemo wakurugenzi wa Bodi wa chama, wafanyakazi, na wadhamini wake kuhudhuria mkutano mkuu wa mwaka 2018 wa kupokea taarifa ya mwaka uliopita na kupanga...
by The Bible Society of Tanzania | Mar 22, 2019 | News, UpComingEvent
On Saturday, March 23rd, 2019 at Berega Morogoro, will be the graduates of literacy training and the training supervisor is Mwl. Frank Makalla and the guest will be the General Secretary of the Bible Society of Tanzania who is Ndg. Alfred Kimonge. We welcome you...