Mkutano Mkuu wa Mwaka (AGM) 2023

Mkutano Mkuu wa Mwaka (AGM) 2023

Join Us for the Annual General Meeting in Dodoma!

Bible Society of Tanzania AGM - May 17, 2024

Mark your calendars for an important gathering of the Bible Society of Tanzania members on May 17, 2024, starting at 9 AM at ELCT-Dodoma Conference Hall.

0 b49cecb9 75b7 4b95 9687 9e85f0c1497f

Annual General Meeting 2024

May 17, 2024

MG 0182 scaled

The Bible Society of Tanzania invites all active members to attend the Annual General Meeting (AGM) hosted by Dr. Alfred E. Kimonge, General Secretary. The event will commence at 9 AM at the ELCT-Dodoma Conference Hall.

Admission is FREE

Reserve Your Spot Today!

Don't miss the opportunity to be part of this significant event. Message us now to confirm your attendance.

Get In Touch

Contact Us For Event Details

For inquiries about the Annual General Meeting of the Bible Society of Tanzania, please do not hesitate to reach out to us. We are available via email, phone, or you can visit us at our office in Dodoma.

Email: info@bibesociety-tanzania.org
Phone: +255 784 683 120
Address: ELCT Conference Hall, Central District, Dodoma City

Mkutano Mkuu wa Mwaka 2021

Mkutano Mkuu wa Mwaka 2021

Mkutano Mkuu wa Mwaka 2021

Katibu Mkuu wa Chama cha Biblia cha Tanzania Dkt. Alfred E. Kimonge anawakaribisha wanachama wa Chama cha Biblia cha Tanzania walio hai (ambao wamelipa michango yao ya uanacha wa kila mwaka) kuhudhuria Mkutano Mkuu wa Chama cha Biblia cha Tanzania (Annual General Meeting 2021) utakaofanyika tarehe 13.05.2022, katika ukumbi wa KKKT- Dodoma mjini, kuanzia saa 3 Asubuhi

Usipange kukosa.

Upatapo taarifa hii mshirikishe na mwenzako.

KARIBUNI.

MAWASILIANO: +255 784 683 120

Our Partners & Sponsors

UBS
ABS LOGO2
BIBLE ONLINE
FCBH
TalkingBibles
Finnish Bible Society

Get In Touch

Uzinduzi wa Biblia ya Kisukuma

Uzinduzi wa Biblia ya Kisukuma

Uzinduzi wa Biblia ya Kisukuma1Tunakualika Karibu Ushiriki nasi katika

Uzinduzi wa Biblia ya Kisukuma

Jumapili, Juni 27, 2021

Mahali: KANISA LA AIC MISSION MAKONGOLO – MWANZA

Saa 08:00 Mchana – 12:00 Jioni

Tukio la bure kabisa

Imetafsiriwa na Chama cha Biblia cha Tanzania


Jinunulie Biblia yako katika lugha yako ya mama

Pia kinawakaribisha wanachama wote wa Chama cha Biblia walioko mkoa wa Mwanza kwenye uzinduzi wa Biblia ya Kisukuma.

Uzinduzi huo utafanyika katika kanisa la AIC Makongoro, Jumapili tar.27.6.2021 kuanzia saa 8 mchana hadi 12 jioni.
Muda huu utawapa nafasi waumini kutoka madhehebu mbali mbali kuweza kushiriki tukio hili, baada ya kumaliza ibada za Jumapili ndani ya makanisa yao.

Wanachama wote mnakaribishwa kushiriki tukio hili muhimu na la kihistoria kwa Chama cha Biblia, Kanisa na jamii nzima ya Kisukuma.
Upatapo taarifa hii mkaribishe na mwenzako, Wakristo kutoka madhehebu yote mnakaribishwa.
Tuunge mkono kwa kushiriki kikamilifu katika uzinduzi wa Biblia hii.

Tukutane AIC Makongoro kwenye uzinduzi wa Biblia ya Kisukuma Jumapili.
Karibuni 🙏🙏🙏
BIBLIA hiyo itakuwa inauzwa kwa bei ya punguzo.

Jiandae upate nakala yako pia.

Mungu ataongea na wewe kwa lugha yako ya Kisukuma.

Tangazo Muhimu! Announcement!

Tangazo Muhimu! Announcement!

Chama cha Biblia cha Tanzania kupitia uongozi wake, kinawatangazia  na kuwakaribisha wanachama wake wote wakiwemo wakurugenzi wa Bodi wa chama, wafanyakazi, na  wadhamini wake kuhudhuria mkutano  mkuu wa mwaka 2018 wa kupokea  taarifa ya mwaka uliopita na kupanga mipango ya mwaka huu. Mkutano utafanyika tarehe 12/4/2019 katika ukumbi wa Kanisa la Lutheran Dodoma mjini kuanzia saa 2:00 asubuhi.

Wanachama wote wanakaribishwa kushiriki ili kufanikisha malengo ya mkutano wetu.

(more…)

× How can I help you?