by The Bible Society of Tanzania | Jun 23, 2022 | Msamaria Mwema, News
Mpango wa watoto walioko kwenye mazingira magumu. Chama cha Biblia kupitia mpango huu kimeendelea kuwafikia watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu kwa kuwapatia mafunzo ya kuwajengea uwezo katika masuala ya; Elimu ya afya ya uzazi, UKIMWI, Jinsi ya kumtambua...
by The Bible Society of Tanzania | Jun 23, 2022 | Msamaria Mwema, News
Mpango wa Biblia ya nukta nundu. Chama cha Biblia cha Tanzania kinaendelea na mpango huu wa kuwafikia wasiiona katika wilaya ya Kongwa-Dodoma. Chama cha Biblia kwa kushirikiana na kanisa la Anglican Kongwa kimeweza kuanzisha maktaba kwa ajili ya Biblia ya Nukta nundu...
by The Bible Society of Tanzania | Mar 11, 2022 | Msamaria Mwema, News
Heri ya Siku ya Wanawake Duniani (IWD) Watoto katika kituo cha SAAFAD Membe. Kituo hiki kiko Kijiji cha Membe, Kata ya Membe na Wilaya ya Chamwino katika Mkoa wa Dodoma. Katika kusherekea sikukuu ya wanawake Duniani, wanawake wa Chama cha Biblia cha Tanzania,...
by The Bible Society of Tanzania | Apr 7, 2021 | Msamaria Mwema, News
Katika kipindi cha mwaka 2020 kupitia mpango wa Msamaria mwema Chama cha Biblia kiliweza kupata fedha kidogo kutoka UBS fedha iliyotuwezesha kutoa mafunzo ya UKIMWI kwa jamii kwa kushirikiana na makanisa, misikiti na wadau wengine walioko katika mapambano ya ugonjwa...
by The Bible Society of Tanzania | Jul 1, 2019 | Msamaria Mwema, News
Na. Rose Mrema Chama cha Biblia cha Tanzania ni taasisi ya Kikristo inayojishughulisha na kutafsiri, kuchapisha na kueneza Maandiko Matakatifu yaani Biblia kwa niaba ya makanisa yote ya Tanzania. Pia Chama cha Biblia kinaendesha program mbalimbali kwenye jamii lengo...