by The Bible Society of Tanzania | Mar 11, 2022 | Msamaria Mwema, News
Heri ya Siku ya Wanawake Duniani (IWD) Watoto katika kituo cha SAAFAD Membe. Kituo hiki kiko Kijiji cha Membe, Kata ya Membe na Wilaya ya Chamwino katika Mkoa wa Dodoma. Katika kusherekea sikukuu ya wanawake Duniani, wanawake wa Chama cha Biblia cha Tanzania,...
by The Bible Society of Tanzania | Apr 7, 2021 | Msamaria Mwema, News
Katika kipindi cha mwaka 2020 kupitia mpango wa Msamaria mwema Chama cha Biblia kiliweza kupata fedha kidogo kutoka UBS fedha iliyotuwezesha kutoa mafunzo ya UKIMWI kwa jamii kwa kushirikiana na makanisa, misikiti na wadau wengine walioko katika mapambano ya ugonjwa...
by The Bible Society of Tanzania | Jul 1, 2019 | Msamaria Mwema, News
Na. Rose Mrema Chama cha Biblia cha Tanzania ni taasisi ya Kikristo inayojishughulisha na kutafsiri, kuchapisha na kueneza Maandiko Matakatifu yaani Biblia kwa niaba ya makanisa yote ya Tanzania. Pia Chama cha Biblia kinaendesha program mbalimbali kwenye jamii lengo...