News & Updates
Be the first to get News and Updates from us by subscribing.
Mradi wa Talking Bible
MRADI WA TALKING BIBLE Mradi huu wa Talking Bible umepokelewa vizuri kwenye makanisa ya kigoma, na idadi ya makundi tuliyonayo ni 142. Pia mradi huu unaendelea vizuri na umeleta mabadiriko makubwa kwenye makanisa na kwenye jamii. Ripoti toka mkoa wa Kigoma,...
Mkutano Mkuu wa Mwaka 2021
Katibu Mkuu wa Chama cha Biblia cha Tanzania Dkt. Alfred E. Kimonge anawakaribisha wanachama wa Chama cha Biblia cha Tanzania walio hai (ambao wamelipa michango yao ya uanacha wa kila mwaka) kuhudhuria Mkutano Mkuu wa Chama cha Biblia cha Tanzania (Annual General...
CHAMA CHA BIBLIA CHA TANZANIA CHA SHEREHEKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
Heri ya Siku ya Wanawake Duniani (IWD)Watoto katika kituo cha SAAFAD Membe. Kituo hiki kiko Kijiji cha Membe, Kata ya Membe na Wilaya ya Chamwino katika Mkoa wa Dodoma.Katika kusherekea sikukuu ya wanawake Duniani, wanawake wa Chama cha Biblia cha Tanzania,...
The launch of the full Braille Bible
The Bible Society of Tanzania celebrates the launch of the full Braille Bible. It is in the city of Kongwa, located in Dodoma Region of the capital city of Tanzania that the majority of the visual impaired live. One of the characteristics of this translation is that...
Bible Production
We publish scriptures in various formats including print, audio, visual and braille in order to meet the needs of all kinds of people. Since the scriptures are mostly used on a daily basis, we make sure the quality is top. This therefore dictates where production is...
CHAMA CHA BIBLIA CHA TANZANIA NA PROGRAMU YA BIBLIA MAGEREZANI
CHAMA CHA BIBLIA CHA TANZANIA NA PROGRAMU YA BIBLIA MAGEREZANI ZIARA KATIKA MAGEREZA YA MSALATO NA KONGWA DODOMA Moja kati ya wajibu muhimu kwa Chama cha Biblia cha Tanzania ni kuhakikisha kuwa watu wote wanapata fursa ya kupata maandiko matakatifu. Kutokana na...
Get in Touch. Get Involved.
People are at the heart of what we do.