IMG 0245 scaled

Uzinduzi wa sehemu ya Biblia (portion) kwa lugha ya Kiha.

Uzinduzi wa sehemu ya Biblia (portion) kwa lugha ya Kiha.Mahali: Kijiji cha Nyakimwe, Wilaya ya Buhigwe  Dhehebu: Kanisa la Anglican Maelezo ya Meneja wa Tafsiri, Leah Kiloba Leah Kiloba alielezea maendeleo ya mradi huu, akisisitiza kuwa Chama cha Biblia kinaendelea...
20241103 154811 scaled

KILELE CHA MAADHIMISHO YA JUMA LA BIBLIA MKOANI DODOMA

KILELE CHA MAADHIMISHO YA JUMA LA BIBLIA MKOANI DODOMADodoma, 03 Novemba 2024 – Maadhimisho ya kilele cha Juma la Biblia mwaka huu yamefanyika kwa mafanikio makubwa mkoani Dodoma, katika Uwanja wa Mashujaa. Maadhimisho hayo yaliyoanza na maandamano ya amani kutoka...
IMG 9840 scaled

UZINDUZI WA SEHEMU YA BIBLIA KWA LUGHA YA KINYIHA WAFANYIKA KANISA LA MORAVIAN, MBOZI

UZINDUZI WA SEHEMU YA BIBLIA KWA LUGHA YA KINYIHA WAFANYIKA KANISA LA MORAVIAN, MBOZIJimbo la Mbozi, Kanisa la Moravian Ushirika wa Igamba – 27 Oktoba 2024Tukio la kihistoria la uzinduzi wa vitabu vya Biblia vilivyotafsiriwa kwa lugha ya Kinyiha vitabu vya Ruthu, 1...
Group Photo Chasu scaled

UZINDUZI WA KITABU CHA KWANZA NA CHA PILI CHA SAMWELI KWA LUGHA YA CHASU

UZINDUZI WA KITABU CHA KWANZA NA CHA PILI CHA SAMWELI KWA LUGHA YA CHASUKanisa la KKKT Usharika wa Hedalu, Dayosisi ya Pare - 20 Oktoba 2024Wapendwa waalikwa walikusanyika leo kwa tukio la kihistoria la uzinduzi wa kitabu cha Kwanza na cha Pili cha Samweli...
MG 8748 scaled

Uzinduzi wa sehemu ya Biblia za vitabu vya 2 Samweli, Ruthi, na Yona kwa lugha ya Kinyamwezi.

Uzinduzi wa tafsiri ya Biblia za vitabu vya 2 Samweli, Ruthi, na Yona kwa lugha ya Kinyamwezi umefanyika katika kanisa la Moraviani, Parishi ya Ipole, wilayani Skonge, mkoa wa Tabora. Tukio hili limeongozwa na Katibu wa Kanisa wa Wilaya ya Skonge, Mchungaji Jackson...
Scripture Union Lunch scaled

Uzinduzi wa Mpango wa kuwafikia wanafunzi kupitia Biblia Inayoongea

Umoja wa Kujisomea Biblia Tanzania (Scripture Union Tanzania), kwa kushirikiana na Chama cha Biblia cha Tanzania na Talking Bible International, wamezindua rasmi mpango wa kuwafikia watoto mashuleni kwa kupitia Biblia Inayoongea. Uzinduzi huu ulifanyika tarehe 07...
MG 1262 scaled

Mkutano Mkuu (AGM) 2023

Katika zama ambazo habari potofu kuhusu Neno la Mungu zimeenea, ni muhimu kusoma Biblia zenye nembo ya Chama cha  Biblia cha Tanzania. Hii inahakikisha uhalisi na ufuasi wa mafundisho ya kweli ya Biblia.Wakati wa mkutano huo uliofanyika Mei 17, 2024, Askofu Mark...
MG 1257 scaled

Yaliyojiri Mkutano Mkuu wa Mwaka (AGM) 2023

Mkutano Mkuu wa Mwaka wa 2023 (AGM) wa Jumuiya ya Biblia Tanzania ulikuwa tukio muhimu sana, uliwaleta pamoja wanachama na wadau ili kujadili mustakabali wa shirika. Mkutano huo uliofanyika mjini Dodoma Mei 17, 2024 ulilenga mipango ya kimkakati na jitihada za...
MOSTLY scaled

Mkutano Mkuu wa Mwaka (AGM) 2023

Mark your calendars for an important gathering of the Bible Society of Tanzania members on May 17, 2024, starting at 9 AM at ELCT-Dodoma Conference Hall.May 17, 2024The Bible Society of Tanzania invites all active members to attend the Annual General Meeting (AGM)...
IMG 5102 scaled

SAUTI YA VIJANA WASAMARIA.

SAUTI YA VIJANA WASAMARIA.Program hii inatekelezwa na Chama cha Biblia cha Tanzania kwa kushirikiana na dawati la vijana (Africa Youth Service -United Bible Society). Madhumuni ya programu ni kuwasaidia, kuandaa, na kuwajengea vijana wadogo miaka 9-24 uwezo wa kufanya...

Be the first to get News and Updates from us by subscribing.

Get in Touch. Get Involved.

People are at the heart of what we do.

Ninth Rd, Dodoma, The Bible Society of Tanzania

Call Us: +255-(026)-2324661

× How can I help you?