Kimachame Bible Launch
The launch of the Bible in the Kimashami language (Kichagga of Machame), was held in the Congregation of Hai in 04/12/2022. Bishop Dr Shoo said many people have been neglecting their languages and said it is good to learn and develop their native languages. At the...
Uzinduzi wa Biblia ya lugha ya Kimochi
Mkuu wa KKKT ambaye pia ni Askofu wa Dayosisi ya Kaskazini, Dkt. Fredrick Shoo, amewataka Wakristo kuitunza na kuindeleza lugha zao za asili kwani ndio msingi na urithi walio nao. Askofu Dkt. Shoo aliyasema hayo wakati wa Uzinduzi wa Biblia ya lugha ya Kimochi...
MPANGO WA KUWAPATIA MAANDIKO MATAKATIFU (BIBLIA) WATOTO, VIJANA NA WAFUNGWA MAGEREZANI NCHINI TANZANIA.
MPANGO WA KUWAPATIA MAANDIKO MATAKATIFU (BIBLIA) WATOTO, VIJANA NA WAFUNGWA MAGEREZANI NCHINI TANZANIA. 1. UTANGULIZI. Chama cha Biblia cha Tanzania (CBT) ni shirika la Kikristo lililoandikishwa mwaka 1970 na kupewa nambari S0 5722. Ni mwanachama wa Muungano waVyama...
MPANGO WA ELIMU YA WATU WAZIMA.
Mpango wa elimu ya watu wazima. Chama cha Biblia kimeeendelea na mpango huu wa elimu ya watu wazima katika (w) ya Kilosa na Gairo-Morogoro kwa lengo la kuwasaidia wanawake na wasichana ambao hawakubahatika kwenda shule kwa sababu tofauti tofauti waweze kusoma na...
MPANGO WA WATOTO WALIOKO KWENYE MAZINGIRA MAGUMU.
Mpango wa watoto walioko kwenye mazingira magumu. Chama cha Biblia kupitia mpango huu kimeendelea kuwafikia watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu kwa kuwapatia mafunzo ya kuwajengea uwezo katika masuala ya; Elimu ya afya ya uzazi, UKIMWI, Jinsi ya kumtambua...
MPANGO WA BIBLIA YA NUKTA NUNDU.
Mpango wa Biblia ya nukta nundu. Chama cha Biblia cha Tanzania kinaendelea na mpango huu wa kuwafikia wasiiona katika wilaya ya Kongwa-Dodoma. Chama cha Biblia kwa kushirikiana na kanisa la Anglican Kongwa kimeweza kuanzisha maktaba kwa ajili ya Biblia ya Nukta nundu...
Be the first to get News and Updates from us by subscribing.
Get in Touch. Get Involved.
People are at the heart of what we do.