Mkutano Mkuu wa Mwaka 2021

Katibu Mkuu wa Chama cha Biblia cha Tanzania Dkt. Alfred E. Kimonge anawakaribisha wanachama wa Chama cha Biblia cha Tanzania walio hai (ambao wamelipa michango yao ya uanacha wa kila mwaka) kuhudhuria Mkutano Mkuu wa Chama cha Biblia cha Tanzania (Annual General Meeting 2021) utakaofanyika tarehe 13.05.2022, katika ukumbi wa KKKT- Dodoma mjini, kuanzia saa 3 Asubuhi

Usipange kukosa.

Upatapo taarifa hii mshirikishe na mwenzako.

KARIBUNI.

MAWASILIANO: +255 784 683 120

Our Partners & Sponsors

UBS
ABS LOGO2
BIBLE ONLINE
FCBH
TalkingBibles
Finnish Bible Society

Get In Touch

× How can I help you?