Wanakisomo wa Elimu ya watu wazima katika msemo wa Kikaguru
Na. Ndugu Frank Makalla (Msimamizi Mkuu wa Mradi-CBT).Chama Cha Biblia Cha Tanzania kilianzisha kisomo cha elimu ya watu wazima kwa kushirikiana na Chama Cha Biblia Cha Finland na SIL (Summer Institute of linguistic) mnamo mwaka 2017 na mwaka huo ulikuwa ni mwaka wa...
TAFSIRI YA BIBLIA KWA LUGHA YA KIRIMI YAFIKIA PAZURI
Kwa Ufupi:Kutokana na kikao cha mapitio ya maendeleo ya mradi wa tafsiri ya Biblia kwa Lugha ya Kirimi November 04-09, 2019, Mkoani Singida, Tafsri bingwa Dr.Samy Tioye kutoka UBS athibitisha mradi huu kuendelea vizuri na umefikia hatua nzuri zaidi kwa hali hiyo...
MADARASA YA ELIMU YA WATU WAZIMA KWA LUGHA YA KIKAGULU {CHIBWEDA} AWAMU YA PILI GAIRO MKOANI MOROGORO.
MADARASA YA ELIMU YA WATU WAZIMA KWA LUGHA YA KIKAGULU {CHIBWEDA} AWAMU YA PILI GAIRO MKOANI MOROGORO. Mafundisho Moja ya juhudi zinazofanywa na waalimu katika madarasa ya Lwakikagulu. Maelekezo Mmoja wa waalimu wa Lwakikagulu akimuelekeza mwanafunzi kusoma na...
01 AUGUST 2019, CHARITY NEWSLETTERS /BARUA YA UPENDO YA KILA MWEZI
Mlee mtoto katika njia impasayo, Naye hataiacha hata atakapo kuwa mzee. [Mithali 22:6] Wapendwa Taifa la Mungu na wakristo wa Tanzania, malezi ni uangalizi wa karibu wa wazazi kwa mtoto wao kiroho, kiafya, kiakili, kitabia ili tuwe na Taifa imara na watu wanaomcha...
BARUA YA UPENDO YA KILA MWEZI YA CHAMA CHA BIBLIA CHA TANZANIA
CHAMA CHA BIBLIA CHA TANZANIA N0: 01 July 2019, NEWSLETTERS /BARUA YA UPENDO YA KILA MWEZI 16 Hatibu / 9th Road, Madukani Area, P.O Box 175, Dodoma Tanzania. || T: +255 (026)-2324661 F: +255 (026)-2324058 || Email: info@biblesociety-tanzania.org || Site:...
CHAMA CHA BIBLIA CHA TANZANIA CHAWAFIKIA WATOTO YATIMA NA WALIOKO KWENYE MAZINGIRA MAGUMU WILAYANI MBARALI.
Na. Rose Mrema Chama cha Biblia cha Tanzania ni taasisi ya Kikristo inayojishughulisha na kutafsiri, kuchapisha na kueneza Maandiko Matakatifu yaani Biblia kwa niaba ya makanisa yote ya Tanzania. Pia Chama cha Biblia kinaendesha program mbalimbali kwenye jamii lengo...
Be the first to get News and Updates from us by subscribing.
Get in Touch. Get Involved.
People are at the heart of what we do.





