Wafungwa na Mahabusu wa Gereza la Kiomboi wapata Biblia.
Na: Canon Mwanamtwa: Hawa ni Askari wa Gereza la Kiomboi wakipokea Biblia kwa niaba ya Wafungwa na Mahabusu wa Gereza la Kiomboi lililopa katika Mkoa wa Singida wilaya ya Iramba. Baada ya kupokea nilipata nafasi ya kuongea na Wafungwa na Mahabusu pamoja na Askari...
MKUTANO WA VIONGOZI WA MAKANISA YA KANDA YA KASKAZINI NA CHAMA CHA BIBLIA CHA TANZANIA ULIOFANYIKA WILAYANI MOSHI MKOANI KILIMANJARO. (TAREHE 04/06/2019).
Na: Felix Rwebandiza Jones. Kitengo cha Tehama. Wajumbe. Waliohudhuria walikuwa 36 kama inavyooneshwa hapa chini. 1. Wakurugenzi Chama cha Biblia cha Tanzania (Rev. Askofu Amosi Muhagachi ambaye ni Balozi wa Chama cha Biblia cha Tanzania na Eng. Ekael Manase ambaye ni...
Mkutano Mkuu wa Chama Cha Biblia Cha Tanzania (CBT) 2018.
Mkutano Mkuu wa Chama Cha Biblia wa mwaka 2018 uliofanyika katika ukumbi wa Kanisa kuu la Kiinjili la Kirutheli Dayosisi ya Dodoma tarehe 12/4/2019. MATUKIO KATIKA PICHA. ...
Tangazo Muhimu! Announcement!
Chama cha Biblia cha Tanzania kupitia uongozi wake, kinawatangazia na kuwakaribisha wanachama wake wote wakiwemo wakurugenzi wa Bodi wa chama, wafanyakazi, na wadhamini wake kuhudhuria mkutano mkuu wa mwaka 2018 wa kupokea taarifa ya mwaka uliopita na kupanga...
Chama cha Biblia cha Tanzania, kimeanzisha utekelezaji wa mradi wa kujifunza kusoma na kuandika kwa watu wazima kwa lugha ya kikagulu.
Chama cha Biblia cha Tanzania, kimeanzisha utekelezaji wa mradi wa kujifunza kusoma na kuandika kwa watu wazima kwa lugha ya kikagulu na kiswahili waliokosa fursa hiyo kutokana na sababu mbalimbali, katika vijiji 30 vya wilaya ya Gairo mkoni Morogoro ikiwa ni sehemu...
Adult villagers in Gairo given another chance to learn how to read, write.
Under Literacy Women in Africa Program (LWA) Adult Villagers in Berega Gairo Morogoro Tanzania given another chance to learn how to read and write. ADULT villagers in Gairo District in Morogoro Region who missed the formal primary education have another chance to...
Be the first to get News and Updates from us by subscribing.
Get in Touch. Get Involved.
People are at the heart of what we do.




