HOTUBA YA DR. ALFRED E. KIMONGE KATIBU MKUU WA CHAMA CHA BIBLIA CHA TANZANIA: KWENYE IBADA NA SHEREHE YA UZINDUZI WA BIBLIA YA KIVUNJO TAREHE 27 SEPTEMBA 2020.
HOTUBA YA DR. ALFRED E. KIMONGEKATIBU MKUU WA CHAMA CHA BIBLIA CHA TANZANIA:KWENYE IBADA NA SHEREHE YA UZINDUZI WA BIBLIA YA KIVUNJOTAREHE 27 SEPTEMBA 2020 Nawasalimu wote katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo, na kipekee ninamsalimu Baba Askofu Fredrick Onael Shoo na...
HATIMAYE WAVUNJO WAPATA BIBLIA KAMILI
Baada ya miaka mingi, Wachaga wa Wavunjo, wapata Biblia katika lugha yao ya Kivunjo. Katika Sherehe na Ibaada ya uzinduzi wa Biblia kwa Lugha ya Kivunjo zimefanyika katika Usharika wa Samanga, Jimbo la Kilimanjaro Mashariki la Kanisa la Kilutheri Tanzania, Dayosisi...
MAHAFALI YA WAHITIMU WA CHIBWEDA MAGUBIKE TAREHE 19/09/2020.
MAHAFALI YA WAHITIMU WA CHIBWEDA MAGUBIKE TAREHE 19/09/2020.LWA Kikagulu wahitimu 248 waliomaliza na kufaulu mafunzo ya kusoma na kuandika katika awamu ya pili ya mahafali ambayo yalikuwa yafanyike tarehe 21/03/2020 lakini yakahirishwa kutokana na covid -19. Sasa...
Wafungwa, Mahabusu Dar wakabidhiwa Biblia Takatifu
Na Dalphina RubyemaWAKATI Chama cha Biblia cha Tanzania kikiwa kimetoa msaada wa Biblia Takatifu kwa wafungwa na mahabusu ya Magereza ya Segerea, Ukonga na Keko yote ya jijini Dar es Salaam, Mkuu wa Gereza la Segerea, SSP. Daniel Mwakyoma amesema ukosefu wa uzio na...
Watu wazima 317 wajifunza kusoma, kuandika
Na Anastazia Anyimike, Gairo - Morogoro Watu wazima 317 kati ya 423 kutoka vijiji 20 wameitimu mafunzo ya kusoma na kuandika kwa lugha ya Chikagulu.Akizungumza jana baada ya kukabidhi vyeti 89 kwa awamu ya kwanza ya wahitimu hao, Mratibu wa Chama cha Biblia cha...
Wanakisomo wa Elimu ya watu wazima katika msemo wa Kikaguru
Na. Ndugu Frank Makalla (Msimamizi Mkuu wa Mradi-CBT).Chama Cha Biblia Cha Tanzania kilianzisha kisomo cha elimu ya watu wazima kwa kushirikiana na Chama Cha Biblia Cha Finland na SIL (Summer Institute of linguistic) mnamo mwaka 2017 na mwaka huo ulikuwa ni mwaka wa...
Be the first to get News and Updates from us by subscribing.
Get in Touch. Get Involved.
People are at the heart of what we do.