Uzinduzi wa Biblia ya Kisukuma
Tunakualika Karibu Ushiriki nasi katika Uzinduzi wa Biblia ya Kisukuma Jumapili, Juni 27, 2021 Mahali: KANISA LA AIC MISSION MAKONGOLO – MWANZA Saa 08:00 Mchana – 12:00 Jioni Tukio la bure kabisa Imetafsiriwa na Chama cha Biblia cha Tanzania Jinunulie Biblia yako...
Kuhamasisha Makanisa
Kazi ya kuamasisha makanisa na viongozi wa dini katika madhehebu mbali mbali ya Kikristo hapa nchini juu ya umuhimu wa kuwapatia watoto, vijana na wafungwa Neno la Mungu (Biblia), inaendelea katika Kanda ya kaskazini. Na leo wajumbe wa Bodi wa Chama cha Biblia cha...
MPANGO WA MSAMARIA MWEMA.
Katika kipindi cha mwaka 2020 kupitia mpango wa Msamaria mwema Chama cha Biblia kiliweza kupata fedha kidogo kutoka UBS fedha iliyotuwezesha kutoa mafunzo ya UKIMWI kwa jamii kwa kushirikiana na makanisa, misikiti na wadau wengine walioko katika mapambano ya ugonjwa...
MAHAFALI YA WAHITIMU WA CHIBWEDA AWAMU YA TATU GAIRO TAREHE 27/02/2021.
Na Felix JonesWakagulu wapatao 756 wanawake wakiwa 550 na wanaume wakiwa 206 waliojiunga na mpango wa kujifunza kusoma na kuandika (LWA Kikagulu) mnamo tarehe 15/06/2020 hadi tarehe 30/11/2020 hatimaye walihitmu mafunzo hayo huku wakiwa na furaha kwa kujua kusoma na...
Uzinduzi wa Agano Jipya la Kiha
Tunakualika katika: Uzinduzi wa Agano Jipya la Kiha (INSEZERANO NSHASHA) Karibu Ushiriki nasi Jumapili, Novemba 22, 2020 Imetafsiriwa na Chama cha Biblia cha Tanzania Mahali: Kanisa Katoliki Kasulu Mjini – Kigoma Saa 03:00 Asubuhi – 08:00 Mchana Tukio la bure...
HOTUBA YA DR. ALFRED E. KIMONGE KATIBU MKUU WA CHAMA CHA BIBLIA CHA TANZANIA: KWENYE IBADA NA SHEREHE YA UZINDUZI WA BIBLIA YA KIDATOOGA TAREHE 04 OKTOBA 2020.
Nawasalimu wote katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo, na kipekee ninamsalimu Baba Askofu Nicholaus Nsanganzelu na wote waliongozana naye. Bwana Yesu apewe sifa. Ninazungumza kwa ridhaa ya Baraza la Wakurugenzi wa Chama cha Biblia cha Tanzania ambao wanawakilisha...
Be the first to get News and Updates from us by subscribing.
Get in Touch. Get Involved.
People are at the heart of what we do.





