Yaliyojiri Mkutano Mkuu wa Mwaka (AGM) 2023
Mkutano Mkuu wa Mwaka wa 2023 (AGM) wa Jumuiya ya Biblia Tanzania ulikuwa tukio muhimu sana, uliwaleta pamoja wanachama na wadau ili kujadili mustakabali wa shirika. Mkutano huo uliofanyika mjini Dodoma Mei 17, 2024 ulilenga mipango ya kimkakati na jitihada za...
Mkutano Mkuu wa Mwaka (AGM) 2023
Mark your calendars for an important gathering of the Bible Society of Tanzania members on May 17, 2024, starting at 9 AM at ELCT-Dodoma Conference Hall.May 17, 2024The Bible Society of Tanzania invites all active members to attend the Annual General Meeting (AGM)...
SAUTI YA VIJANA WASAMARIA.
SAUTI YA VIJANA WASAMARIA.Program hii inatekelezwa na Chama cha Biblia cha Tanzania kwa kushirikiana na dawati la vijana (Africa Youth Service -United Bible Society). Madhumuni ya programu ni kuwasaidia, kuandaa, na kuwajengea vijana wadogo miaka 9-24 uwezo wa kufanya...
MAHAFALI YA SITA YA LWA KIKAGURU
LITERACY FOR WOMEN IN AFRICA PROJECT.TAARIFA FUPI YA MPANGO & MAHAFALI YA SITA YA MPANGO HUUMahafali ya sita ya mpango huu yalifanyika tarehe 17.2.2024 katika Ukumbi wa Nazarethi, Gairo mjini ambapo wanakisomo 421 walitunukiwa vyeti vya kuhitimu Kisomo cha watu...
Biblia kwa Wafungwa Kanda ya Kaskazini
Biblia kwa Wafungwa Kanda ya KaskaziniHabari Kamili.Chama cha Biblia cha Tanzania kimeendelea na huduma yake ya kugawa Biblia kwa baadhi ya magereza hapa nchini. Chama kimeendelea kutoa huduma hiyo kutokanana sadaka na michango ya wanachama wake, wadau mbali mbali...
MPANGO WA KISOMO CHA WATU WAZIMA – LITERACY FOR WOMEN IN AFRICA.
MPANGO WA KISOMO CHA WATU WAZIMA - LITERACY FOR WOMEN IN AFRICA.Habari Kamili.Chama cha Biblia cha Tanzania kinaendelea kutekeleza mpango wa Kisomo cha elimu ya watu wazima katika wilaya ya Kilosa na Gairo kwenye vijiji 15 vilivyochaguliwa wakati wa kuanzishwa kwa...
Be the first to get News and Updates from us by subscribing.
Get in Touch. Get Involved.
People are at the heart of what we do.