Adult villagers in Gairo given another chance to learn how to read, write.
Under Literacy Women in Africa Program (LWA) Adult Villagers in Berega Gairo Morogoro Tanzania given another chance to learn how to read and write. ADULT villagers in Gairo District in Morogoro Region who missed the formal primary education have another chance to...
Kagulu Literacy Class Graduation
On Saturday, March 23rd, 2019 at Berega Morogoro, will be the graduates of literacy training and the training supervisor is Mwl. Frank Makalla and the guest will be the General Secretary of the Bible Society of Tanzania who is Ndg. Alfred Kimonge. We welcome you...
Masomo ya uponyaji wa vidonda vya nafsi.
Tunashukuru Sana kwa jinsi Chama Cha Biblia cha Tanzania kinavyojali na kuwahudumia watu mbalimbali. Pichani ni sehemu ya wakristo wa Parish ya Iringa Road KKKT. Ambao wanafundishwa masomo ya uponyaji wa vidonda vya nafsi.Masomo haya ni kwa faida yao nabaadae wawe...
SEMINA YA UPONYAJI YA VIDONDA VYA NAFSI (TRAUMA HEALING) ILIYOFANYIKA WILAYANI MAGU MKOANI MWANZA
Picha hizi zinaonyesha jinsi Wawezeshaji wa Uponyaji wa vidonda vya Nafsi wa kutoka Mkoa wa Mara walivyokuwa na Furaha kubwa, mara baada ya kumaliza semina yao ya kutiwa moyo juu ya kazi yao ngumu ya uponyaji wa vidonda vya nafsi.Semina hii ilifanyika huko Magu Mkoani...
Kifahamu Chama Cha Biblia cha Tanzania (CBT).
CHAMA CHA BIBLIA CHA TANZANIA KUWEZESHA UPATIKANAJI WA MAANDIKO MATAKATIFU KATIKA LUGHA INAYOELEWEKA VIZURI NA KWA BEI WANAYOIMUDU 1.Chama cha Biblia cha Tanzania ni nini? Chama cha Biblia cha Tanzania ni Shirika la Kikristo lisilo la Kidhehebu...
Tangazo kwa Wanachama Wote Wa Chama Cha Biblia cha Tanzania
Bwana wetu Yesu Kristo asifiwe sana... Watumishi wa Mungu..! Chama cha Biblia cha Tanzania.... Kina kukumbusha mchango wako wa uanachama wa kila mwaka. Na Mungu akubariki sana. Na namba ya Kutumia kama hauwezi kufika Ofisini ...Ni 890 890. Mtandao ni wa vodacom na...
Be the first to get News and Updates from us by subscribing.
Get in Touch. Get Involved.
People are at the heart of what we do.




