Tunashukuru Sana kwa jinsi Chama Cha Biblia cha Tanzania kinavyojali na kuwahudumia watu mbalimbali. Pichani ni sehemu ya wakristo wa Parish ya Iringa Road KKKT. Ambao wanafundishwa masomo ya uponyaji wa vidonda vya nafsi.Masomo haya ni kwa faida yao nabaadae wawe viongozi wa wenzao katika kuanzisha na kuendeleza vikundi hivi vya uponyaji wa nafsi.
Bible Verse of the Day
Now faith is the substance of things hoped for, the evidence of things not seen.
News and Posts
- CHAMA CHA BIBLIA CHA TANZANIA CHASAMBAZA ZAIDI YA MAANDIKO 538,000 MWAKA 2025 June 12, 2026
- Mkutano Mkuu wa 40 (AGM) May 12, 2026
- CHAMA CHA BIBLIA CHA TANZANIA CHASHEREHEKEA MAHAFALI YA WANAKISOMO February 11, 2026
- Uzinduzi wa Biblia ya Kihehe July 3, 2025
- UZINDUZI WA BIBLIA YA KIKAGULU June 17, 2025
