Masomo ya uponyaji wa vidonda vya nafsi.

Masomo ya uponyaji wa vidonda vya nafsi.

trauma

Tunashukuru Sana kwa jinsi Chama Cha Biblia cha Tanzania kinavyojali na kuwahudumia watu mbalimbali. Pichani ni sehemu ya wakristo wa Parish ya Iringa Road KKKT. Ambao wanafundishwa masomo ya uponyaji wa vidonda vya nafsi.Masomo haya ni kwa faida yao nabaadae wawe viongozi wa wenzao katika kuanzisha na kuendeleza vikundi hivi vya uponyaji wa nafsi.

SEMINA YA UPONYAJI YA VIDONDA VYA NAFSI (TRAUMA HEALING) ILIYOFANYIKA WILAYANI MAGU MKOANI MWANZA

SEMINA YA UPONYAJI YA VIDONDA VYA NAFSI (TRAUMA HEALING) ILIYOFANYIKA WILAYANI MAGU MKOANI MWANZA

Picha hizi zinaonyesha jinsi Wawezeshaji wa Uponyaji wa vidonda vya Nafsi wa kutoka Mkoa wa Mara walivyokuwa na Furaha kubwa, mara baada ya kumaliza semina yao ya kutiwa moyo juu ya kazi yao ngumu ya uponyaji wa vidonda vya nafsi.Semina hii ilifanyika huko Magu Mkoani Mwanza kati ya tarehe 03/12/2018 na tarehe 06/12/2018.

2

Picha ya pamoja ya washiriki wa semina ya Uponyaji wa vidonda vya nafsi(TRAUMA HEALING) iliyofanyika wilayani Magu Mkoani Mwanza

6Washiriki wakiwa katika semina ya Uponyaji wa vidonda vya nafsi(TRAUMA HEALING)

5

Mchungaji Laulence Oiso akiongoza moja mosomo ya uponyaji wa nafsi  kwa washiriki wa semina hiyo.

 

× How can I help you?