by The Bible Society of Tanzania | Jan 24, 2019 | News, Trauma Healing

Tunashukuru Sana kwa jinsi Chama Cha Biblia cha Tanzania kinavyojali na kuwahudumia watu mbalimbali. Pichani ni sehemu ya wakristo wa Parish ya Iringa Road KKKT. Ambao wanafundishwa masomo ya uponyaji wa vidonda vya nafsi.Masomo haya ni kwa faida yao nabaadae wawe viongozi wa wenzao katika kuanzisha na kuendeleza vikundi hivi vya uponyaji wa nafsi.
by The Bible Society of Tanzania | Dec 10, 2018 | News, Trauma Healing
Picha hizi zinaonyesha jinsi Wawezeshaji wa Uponyaji wa vidonda vya Nafsi wa kutoka Mkoa wa Mara walivyokuwa na Furaha kubwa, mara baada ya kumaliza semina yao ya kutiwa moyo juu ya kazi yao ngumu ya uponyaji wa vidonda vya nafsi.Semina hii ilifanyika huko Magu Mkoani Mwanza kati ya tarehe 03/12/2018 na tarehe 06/12/2018.

Picha ya pamoja ya washiriki wa semina ya Uponyaji wa vidonda vya nafsi(TRAUMA HEALING) iliyofanyika wilayani Magu Mkoani Mwanza

Mchungaji Laulence Oiso akiongoza moja mosomo ya uponyaji wa nafsi kwa washiriki wa semina hiyo.