KILELE CHA MAADHIMISHO YA JUMA LA BIBLIA MKOANI DODOMA
KILELE CHA MAADHIMISHO YA JUMA LA BIBLIA MKOANI DODOMADodoma, 03 Novemba 2024 – Maadhimisho ya kilele cha Juma la Biblia mwaka huu yamefanyika kwa mafanikio makubwa mkoani Dodoma, katika Uwanja wa Mashujaa. Maadhimisho hayo yaliyoanza na maandamano ya amani kutoka...
UZINDUZI WA SEHEMU YA BIBLIA KWA LUGHA YA KINYIHA WAFANYIKA KANISA LA MORAVIAN, MBOZI
UZINDUZI WA SEHEMU YA BIBLIA KWA LUGHA YA KINYIHA WAFANYIKA KANISA LA MORAVIAN, MBOZIJimbo la Mbozi, Kanisa la Moravian Ushirika wa Igamba – 27 Oktoba 2024Tukio la kihistoria la uzinduzi wa vitabu vya Biblia vilivyotafsiriwa kwa lugha ya Kinyiha vitabu vya Ruthu, 1...
UZINDUZI WA KITABU CHA KWANZA NA CHA PILI CHA SAMWELI KWA LUGHA YA CHASU
UZINDUZI WA KITABU CHA KWANZA NA CHA PILI CHA SAMWELI KWA LUGHA YA CHASUKanisa la KKKT Usharika wa Hedalu, Dayosisi ya Pare - 20 Oktoba 2024Wapendwa waalikwa walikusanyika leo kwa tukio la kihistoria la uzinduzi wa kitabu cha Kwanza na cha Pili cha Samweli...
Uzinduzi wa sehemu ya Biblia za vitabu vya 2 Samweli, Ruthi, na Yona kwa lugha ya Kinyamwezi.
Uzinduzi wa tafsiri ya Biblia za vitabu vya 2 Samweli, Ruthi, na Yona kwa lugha ya Kinyamwezi umefanyika katika kanisa la Moraviani, Parishi ya Ipole, wilayani Skonge, mkoa wa Tabora. Tukio hili limeongozwa na Katibu wa Kanisa wa Wilaya ya Skonge, Mchungaji Jackson...
Uzinduzi wa Mpango wa kuwafikia wanafunzi kupitia Biblia Inayoongea
Umoja wa Kujisomea Biblia Tanzania (Scripture Union Tanzania), kwa kushirikiana na Chama cha Biblia cha Tanzania na Talking Bible International, wamezindua rasmi mpango wa kuwafikia watoto mashuleni kwa kupitia Biblia Inayoongea. Uzinduzi huu ulifanyika tarehe 07...
Mkutano Mkuu (AGM) 2023
Katika zama ambazo habari potofu kuhusu Neno la Mungu zimeenea, ni muhimu kusoma Biblia zenye nembo ya Chama cha Biblia cha Tanzania. Hii inahakikisha uhalisi na ufuasi wa mafundisho ya kweli ya Biblia.Wakati wa mkutano huo uliofanyika Mei 17, 2024, Askofu Mark...
Be the first to get News and Updates from us by subscribing.
Get in Touch. Get Involved.
People are at the heart of what we do.