by The Bible Society of Tanzania | Jun 8, 2022 | AGM, News
Taarifa ya Utendaji na Fedha kwa mwaka wa 2021. Imewasilishwa kwenye Mkutano Mkuu wa Mwaka (AGM) katika ukumbi wa Mikutano wa K.K.K.T – Dodoma. Na Mkutano huo uliongozwa na Rt. Rev Mark W. Malekana Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Chama cha Biblia cha...
by The Bible Society of Tanzania | May 6, 2022 | News, UpComingEvent
Katibu Mkuu wa Chama cha Biblia cha Tanzania Dkt. Alfred E. Kimonge anawakaribisha wanachama wa Chama cha Biblia cha Tanzania walio hai (ambao wamelipa michango yao ya uanacha wa kila mwaka) kuhudhuria Mkutano Mkuu wa Chama cha Biblia cha Tanzania (Annual General...
by The Bible Society of Tanzania | Mar 11, 2022 | Msamaria Mwema, News
Heri ya Siku ya Wanawake Duniani (IWD) Watoto katika kituo cha SAAFAD Membe. Kituo hiki kiko Kijiji cha Membe, Kata ya Membe na Wilaya ya Chamwino katika Mkoa wa Dodoma. Katika kusherekea sikukuu ya wanawake Duniani, wanawake wa Chama cha Biblia cha Tanzania,...
by The Bible Society of Tanzania | Dec 5, 2021 | News
The Bible Society of Tanzania celebrates the launch of the full Braille Bible. It is in the city of Kongwa, located in Dodoma Region of the capital city of Tanzania that the majority of the visual impaired live. One of the characteristics of this translation is that...
by The Bible Society of Tanzania | Oct 14, 2021 | Fundraisers, News
CHAMA CHA BIBLIA CHA TANZANIA NA PROGRAMU YA BIBLIA MAGEREZANI ZIARA KATIKA MAGEREZA YA MSALATO NA KONGWA DODOMA Moja kati ya wajibu muhimu kwa Chama cha Biblia cha Tanzania ni kuhakikisha kuwa watu wote wanapata fursa ya kupata maandiko matakatifu. Kutokana na...
by The Bible Society of Tanzania | Jul 21, 2021 | News, Uzinduzi
Hatimaye Biblia ya Kisukuma yazinduliwa kwa kishindo mkoani Mwanza. Na Felix Jones Uzinduzi wa Biblia ya Kisukuma umefanyika katika Kanisa Kuu AIC Makongoro Mwanza na kuudhuliwa na viongozi mbalimbali wa Umoja wa Makanisa mkoa wa Mwanza. Akizungumza katika hafla hiyo...