
Mkutano Mkuu wa Mwaka (AGM) 2024

Wasiliana

Phone
(+255) 784-683 120

Location
9th Road /14 Hatibu, Madukani Area
(+255) 784-683 120
9th Road /14 Hatibu, Madukani Area
Mark your calendars for an important gathering of the Bible Society of Tanzania members on May 17, 2024, starting at 9 AM at ELCT-Dodoma Conference Hall.
May 17, 2024
The Bible Society of Tanzania invites all active members to attend the Annual General Meeting (AGM) hosted by Dr. Alfred E. Kimonge, General Secretary. The event will commence at 9 AM at the ELCT-Dodoma Conference Hall.
Admission is FREE
For inquiries about the Annual General Meeting of the Bible Society of Tanzania, please do not hesitate to reach out to us. We are available via email, phone, or you can visit us at our office in Dodoma.
Email: info@bibesociety-tanzania.org
Phone: +255 784 683 120
Address: ELCT Conference Hall, Central District, Dodoma City
Katibu Mkuu wa Chama cha Biblia cha Tanzania Dkt. Alfred E. Kimonge anawakaribisha wanachama wa Chama cha Biblia cha Tanzania walio hai (ambao wamelipa michango yao ya uanacha wa kila mwaka) kuhudhuria Mkutano Mkuu wa Chama cha Biblia cha Tanzania (Annual General Meeting 2021) utakaofanyika tarehe 13.05.2022, katika ukumbi wa KKKT- Dodoma mjini, kuanzia saa 3 Asubuhi
Usipange kukosa.
Upatapo taarifa hii mshirikishe na mwenzako.
KARIBUNI.
MAWASILIANO: +255 784 683 120
Tunakualika Karibu Ushiriki nasi katika
Uzinduzi wa Biblia ya Kisukuma
Jumapili, Juni 27, 2021
Mahali: KANISA LA AIC MISSION MAKONGOLO – MWANZA
Saa 08:00 Mchana – 12:00 Jioni
Tukio la bure kabisa
Imetafsiriwa na Chama cha Biblia cha Tanzania
Jinunulie Biblia yako katika lugha yako ya mama
Pia kinawakaribisha wanachama wote wa Chama cha Biblia walioko mkoa wa Mwanza kwenye uzinduzi wa Biblia ya Kisukuma.
Uzinduzi huo utafanyika katika kanisa la AIC Makongoro, Jumapili tar.27.6.2021 kuanzia saa 8 mchana hadi 12 jioni.
Muda huu utawapa nafasi waumini kutoka madhehebu mbali mbali kuweza kushiriki tukio hili, baada ya kumaliza ibada za Jumapili ndani ya makanisa yao.
Wanachama wote mnakaribishwa kushiriki tukio hili muhimu na la kihistoria kwa Chama cha Biblia, Kanisa na jamii nzima ya Kisukuma.
Upatapo taarifa hii mkaribishe na mwenzako, Wakristo kutoka madhehebu yote mnakaribishwa.
Tuunge mkono kwa kushiriki kikamilifu katika uzinduzi wa Biblia hii.
Tukutane AIC Makongoro kwenye uzinduzi wa Biblia ya Kisukuma Jumapili.
Karibuni 🙏🙏🙏
BIBLIA hiyo itakuwa inauzwa kwa bei ya punguzo.
Jiandae upate nakala yako pia.
Mungu ataongea na wewe kwa lugha yako ya Kisukuma.
Uzinduzi wa Agano Jipya la Kiha
(INSEZERANO NSHASHA)
Karibu Ushiriki nasi
Jumapili, Novemba 22, 2020
Imetafsiriwa na Chama cha Biblia cha Tanzania
Saa 03:00 Asubuhi – 08:00 Mchana
Tukio la bure kabisa
Chama cha Biblia cha Tanzania kupitia uongozi wake, kinawatangazia na kuwakaribisha wanachama wake wote wakiwemo wakurugenzi wa Bodi wa chama, wafanyakazi, na wadhamini wake kuhudhuria mkutano mkuu wa mwaka 2018 wa kupokea taarifa ya mwaka uliopita na kupanga mipango ya mwaka huu. Mkutano utafanyika tarehe 12/4/2019 katika ukumbi wa Kanisa la Lutheran Dodoma mjini kuanzia saa 2:00 asubuhi.
Wanachama wote wanakaribishwa kushiriki ili kufanikisha malengo ya mkutano wetu.