Heri ya Siku ya Wanawake Duniani (IWD)
Watoto katika kituo cha SAAFAD Membe.
Kituo hiki kiko Kijiji cha Membe, Kata ya Membe na Wilaya ya Chamwino katika Mkoa wa Dodoma.
Katika kusherekea sikukuu ya wanawake Duniani, wanawake wa Chama cha Biblia cha Tanzania, wadau na Chama cha Biblia cha Tanzania wamejumuika leo tarehe 08/03/2022 kuazimisha siku hiyo kwa kuwatembelea watoto wanaolelewa kwenye kituo cha SAAFAD Membe.
Katika siku hiyo wanawake wa Chama cha Biblia wamepata fursa ya kukutana na watoto zaidi ya 100 wanaolelewa kwenye kituo hiko ambao ni yatima na wanaoishi kwenye mazingira magumu. Ilikuwa ni ya furaha kwa wanawake, watoto wenyewe pamoja na wageni wengine walioshiriki kwenye sherehe hiyo.
Wanawake hao walipata mda wa kuzungumza na watoto hao kuhusu mada mbali mbali zikiwemo athari za mimba utotoni, umuhimu wa kujitunza na jinsi kuepukana na vishawishi wanavyokutana navyo katika makuzi yao na kuliishi Neno la Mungu wanalofundishwa na walezi wao kituoni hapo.
Watoto walipata muda wa kushirikisha story za maisha yao. Huyo binti anashuhudia namna mama yake alivyomkataa na wadogo zake mara tu baba alipofariki na mama kuolewa na mwanaume mwingine. Wote wanalelewa kwenye kituo cha SAAFAD.
Kauli mbiu ya mwaka huu ni
“Kizazi cha Haki na Usawa kwa Maendeleo Endelevu.”
Baadhi ya watoto walifanya matembezi wakiongozwa na Mch.Samweli Mshana wa Chama cha Biblia Tanzania.
Chama Cha Biblia Cha Tanzania Kimewafikia Watu Wenye Ulemavu.
CHAMA CHA BIBLIA CHA TANZANIA KIMEWAFIKIA WATU WENYE ULEMAVU. Miongoni mwa malengo ya Chama Chama Biblia cha Tanzania ni pamoja na kuhakikisha kila Mtanzania anafikiwa na neno la Mungu. Kupitia programu ama miradi mbalimbali inayofanywa na Chama Cha Biblia, hufanikiwa...
Braille Bible portions and Audio Bible for people with visual disabilities in Dodoma region.
Project Summary People with visual impairment are stigmatized and discriminated by the community in Tanzania;and therefore their needs are given little attention.Dodoma is the leading region with higher number of visually impaired persons in Tanzania because of...
Empowering Orphans and Vulnerable Children in Mbarali District.
Mbeya is one of the biggest cities in Tanzania after Dar es Salaam, Mwanza, and Arusha. It is the region through which the Great North road passes (i.e Cairo to Cape Town). Also it is one of the main roads in Tanzania, which begins from Dar es Salaam to Tunduma (The...
Kirimi Bible Translation
August 28, 2018 / Author: Communications Project Summary The translation project for Kirimi Bible started in January 1999 and was expected to end in December; 2018.The completion date has been revised to 2020 due to reasons beyond our control including...
Get Involved
We have Bibles in different Tanzanians languages that you can read online. You can also download Bible reading plans to guide you through the Bible.
Donate Today or Get Involved