by The Bible Society of Tanzania | Jun 20, 2019 | Fundraisers, News
Na: Canon Mwanamtwa: Hawa ni Askari wa Gereza la Kiomboi wakipokea Biblia kwa niaba ya Wafungwa na Mahabusu wa Gereza la Kiomboi lililopa katika Mkoa wa Singida wilaya ya Iramba. Baada ya kupokea nilipata nafasi ya kuongea na Wafungwa na Mahabusu pamoja na Askari...
by The Bible Society of Tanzania | Jun 13, 2019 | Fundraisers, News
Na: Felix Rwebandiza Jones. Kitengo cha Tehama. Wajumbe. Waliohudhuria walikuwa 36 kama inavyooneshwa hapa chini. 1. Wakurugenzi Chama cha Biblia cha Tanzania (Rev. Askofu Amosi Muhagachi ambaye ni Balozi wa Chama cha Biblia cha Tanzania na Eng. Ekael Manase ambaye ni...
by The Bible Society of Tanzania | Dec 3, 2018 | Appeal, Fundraisers, News
CHAMA CHA BIBLIA CHA TANZANIA KUWEZESHA UPATIKANAJI WA MAANDIKO MATAKATIFU KATIKA LUGHA INAYOELEWEKA VIZURI NA KWA BEI WANAYOIMUDU 1.Chama cha Biblia cha Tanzania ni nini? Chama cha Biblia cha Tanzania ni Shirika la Kikristo lisilo la Kidhehebu...
by The Bible Society of Tanzania | Dec 3, 2018 | Fundraisers, News
ZIARA KATIKA MAGEREZA YA MSALATO NA KONGWA DODOMA Moja kati ya wajibu muhimu kwa Chama cha Biblia cha Tanzania ni kuhakikisha kuwa watu wote wanapata fursa ya kupata maandiko matakatifu. Kutokana na jukukumu hilo tarehe 27/11/2018 watumishi wa Idara ya Mahusiano na...
by The Bible Society of Tanzania | Aug 23, 2016 | Fundraisers, News
Project Summary People with visual impairment are stigmatized and discriminated by the community in Tanzania;and therefore their needs are given little attention.Dodoma is the leading region with higher number of visually impaired persons in Tanzania because of...