LITERACY FOR WOMEN IN AFRICA (LWA KIKAGULU)
Literacy for Women in Africa which was started in 2017 by doing research of the targeted language Kikagulu located in Morogoro region, Gairo and Kilosa District, the research was done by Summer Institute of Linguistics (SIL) as the consultants of the program and The Bible Society of Tanzania as beneficiaries of the project whereas Finish Bible Society are funding five countries in Africa including Malawi, Kenya, Ethiopia, Namibia and Tanzania.
JPR REPORT LWA KIKAGULU 05.11.2019″
JPR LWA KIKAGURU 2020
- Wahitimu wa awamu ya tatu ‘CHIBWEDA’ wakiimba wimbo maalumu wa kukishukuru Chama cha Biblia cha Finland na Chama cha Biblia cha Tanzania kwa kuwaletea mpango huu wa kujifunza kusoma na kuandika.
- Mratibu wa mpango huu Mwl. Frank Makalla wa kwanza kushoto kwa waliokaa mbele akiwa katika picha ya pamoja na wahitimu waliosimama nyuma wenye vyeti pamoja na mgeni rasmi Canon Elias Lucas Chamwenye wa tatu kutoka kushoto na wageni wengine walioalikwa kwenye mahafari hayo.
- Wahitimu wa CHIBWEDA wakiwa katika picha ya pamoja katika mahafali yao iliyofanyika mnamo tarehe 19/09/2020 huko Magubike siku ya Jumamosi.